leo tarehe 17 mey klabu ya waandishi wa habari Pemba PPC wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari, ambapo kila ifikapo may 3 dunia huadhimisha siku ya uhauru wa vyombo vya habari kitaifa.
Maadhimisho hayo ambayo yalihudhuriwa na viongozi wa serekali na taasisi binafsi, sambamba na waandishi wa vyombo mbali mbali kisiwani Pemba
0 Comments