Ikitokea mke na Mume wameshindwa kupata mtoto Kwa njia ya kawaida na wametafuta Kwa muda mrefu basi muhimu mzingatie na kuyafuata haya::

Mnashauriwa muonane na daktari, mfanye naye mazungumzo na uchunguzi Ili kubaini nini chanzo Cha Ugumba wenu.

Kwa mwanaume vipimo vyake, kwanza kupima mbegu, kama atakuwa na shida itapaswa na yeye kupima kiwango Cha homoni zake, kupiga utra sound, kuangalia mirija na korodani.

Hatua ya mwisho, ni msaada wa kisaikolojia Kwa wanandoa, nimuhimu, huu unaweza kutoka kwa daktari, au watu wa karibu zaidii, nayo muhimu sana.
Je wewe unayesumbuliwa na matatizo ya uzazi, umewahi kwenda na mwenza wako kufanya uchunguzi pamoja?? Au amekutupia mpira wewe tu?
0 Comments